Mrisho Mpoto Amshukuru Diamond Kufika Msibani.

Msanii Mrisho Mpoto ambae alituma salamu kwa msanii Diamond platinumz kuwa anatakiwa kufika katika msiba wa ruge mutahaba na baada ya salamu hizo Diamond platinumz alifika kweli katika msiba huo katika uwanja wa Karimjee mabapo ndipo alipokuwa akiagwa Ruge.

Hata hivyo kutokufika kwa Diamond kwa muda mrefu msibani tangu msiba huo ulipotokea kumezua gumzo kwa watu kwamba kwanini hakutokea tangu siku ya kwanza ya msiba na hata kufika siku ya kuaga na bado hakufika katika muda unatakiwa.

Hata hivyo msanii huyo alifika na familia yake na kukaa nje na hata hakuruhuiswa kukaa ndani  kwa sababu ya kuchelewa kwake.

katika ukurasa wake wa instagram, Mrisho Mpoto alisema “NIMETUKWANA SANA KWA SABABU YA KUKUOMBA KUJA KUMZIKA RUGE ,ASANTE KWA KUNIHSHIMU NA KUNISIKILIZA, KWA KILA ALIENITUKANA NAOMBA ALALE NA HILI NENO HILI “nyumba ya mzaramo haikosi kuwa na mbilimbi”

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.