Afr_connect Yawakutanisha Vyonne Chakachaka na Mrs. Alikiba.(+picha)

Mke wa msanii Alikiba Bi .Amina amefanikiwa kukutana na msanii mkubwa kutoka afrika ya kusini  vyonne chakachaka  katika kongamano  la Afr_Connect .kongamano ilo ambalo ambalo lima lengo la kuzungumzia maswala ya wanawake ambapo katia kongamamno ilo alikiba alipata bahati ya kuimba kwa mara ya kwanza wimbo wake aliomshirikisha Vyonne Chakachaka unaomzungumzia mwanamke wa kiafrika unaojulikana kama Akili ya mama.

Alikiba na mke wake akiwa na waziri Ummy Mwalimu.

Alikiba akiwa na mama vyonne chakachaka wakiimba wimbo wao mpya.

Alikiba akiwa na vyonne pamoja na mkewe.

wadau na watu mbalimbali wakiwa katika kongamano la Afr_Connect.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.