Ali Kiba Apiga Shoo Ya Kifalme Oman

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Ali Kiba ambaye Wiki iliyopita alipiga bonge la shoo nchini Oman amedaiwa kufanya bonge la shoo aambalo limetajwa kuwa la kifalme.

Gazeti la Ijumaa wikienda linaripoti kuwa Ali Kiba aliwasili nchini humo katikati ya wiki iliyopita ambapo ali­pumzika kwenye hoteli ya nyota tano kabla ya kukinukisha katika ukumbi wa hoteli hiyo aliyofikia ijulikanayo kwa jina la InterContinental, Muscat wikiendi iliyopita.

Ijumaa Wikienda lilizun­gumza na mmoja wa mameneja wa msanii huyo aitwaye Aidan Seif ambapo alipoulizwa kuhusu mafanikio ya shoo hiyo, alisema anamshukuru Mungu imefanikiwa na kwamba ni muendelezo wa Kam­puni ya Rockstar4000 kumuandalia Kiba pamoja wasanii wengine wa lebo hiyo shoo kubwa nje ya nchi.

Unajua bila Watanzania, Kiba muziki wake usingependwa nje kama hivi tunavyopokea mialiko kila kukicha, tunaomba waendelee ku­tusapoti. Kiba amefanya vizuri sana Oman, watu wameruka mwanzo mwisho hivyo nina amini picha kama hii itatokea maeneo mbalim­bali“.

https://www.instagram.com/p/BtqS7UXBgm_/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=hkewas2vl692

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.