Ali Kiba Azindua Kinywaji Chake Siku Ya Harusi Yake

Staa wa Bongo fleva Ali Salehe Kiba amezindua rasmi kinywaji chake cha Energy siku ya jana katika hoteli ya Serena ambapo ndipo reception yake ya harusi ilifanyika.

Ali Kiba ametangaza Habari hiyo kuwa amekuwa balozi rasmi wa kinywaji kinachoitwa Ali Kiba Mofaya Energy Drink ambacho kimesindikizwa kwa picha yake kwenye chupa.

Kwa muda mrefu kumekuwa na tetesi kuwa Ali Kiba atakuwa balozi wa bidhaa kadhaa mbali na fani yake ya muziki.

Lakini pia mashabiki zake wote waliokuwepo Kwenye ukumbi huo walipata nafasi ya kuonja kinywaji hicho kwani kilipatikana kwa kila mmoja aliyekuwa Ukumbini humo.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.