Ali Kiba, Millard Ayo na Faraja Nyalandu Watajwa Kwenye Listi Ya Vijana 100 Wenye Ushawishi Afrika

Mastaa mbali mbali kama vile Ali Kiba, Millard Ayo, Faraja Nyalandu, Herieth Paul, Jennifer Bash, Jumanne Mtambalike, Mbwana Samatta na Yusuf Bakhresa wametajwa Kwenye listi ya vijana 100 wenye ushawishi mkubwa barani Afrika.

Taasisi inayojishughulisha na tafiti mbalimbali zinazohusu vijana wenye ushawishi zaidi walio chini ya miaka 40  barani  Afrika ya The Africa Youth Awards, imetangaza orodha ya majina ya vijana 100 ya vijana wenye ushawishi kutoka kwenye mataifa 26 barani Afrika kwa mwaka 2018, na Tanzania ikiwemo.

.

Wasanii wanaowekwa Kwenye Orodha hii wanakuwa wameleta Mchango chanya kwa vijana na jamii kwa ujumla hasa kwa dunia hii ya utumiaji wa mitandao ya kijamii tunaweza kusema ‘Role Models’.

Tazama orodha kamili hapa chini na kusoma zaidi kwenye website ya The Africa Youth Awards.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.