Ali Kiba na Mkewe Amina Wamkaribisha Mtoto Wao Wa Kwanza

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Ali Saleh Kiba na mke Wake Bi. Amina Khaleef hatimaye wamefanikiwa kupata Mtoto wao kwanza.

Ali Kiba ametangaza habari hiyo njema Kupitia ukurasa wake wa Snapchat ambapo ameweka mkono na mguu wa Mtoto huyo kuonyesha ujio Wake siku ya jana.

Ali Kiba ameweka wazi kuwa Mtoto Wake huyo ni Jinsia ya kiume. Huyo ni Mtoto wa nne wa Ali Kiba Lakini atakuwa ni Mtoto wa kwanza kwa mkewe Amina.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.