Alichofanya Vanessa Mtwara Kuombeleza Kifo cha Patrick

Wikiend iliyopita ambapo karibia kila mtu alikuwa na mjozi kutokana namsiva mkuwbwa uliotikisa jii la Dar Es Salaam, baada ya msanii Muna Lov kufiwa na mtoto wake ambae alizikwa Jumamosi katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar.

Wasanii wengi walipata nafasi ya kuhudhuria mazishi ya mtoto huyo ingawa pia kuna wnegine hawakupata nafasi hiyo na vanesa mdee alkiuwa mmoja wa watu walishindwa kuhudhuria msiba kutokana na kuwa na show mjini Mtwara.

Lakini hii haikufanya vanesa ashindwe kuonyesha ni jinsi gani amefikwa na msiba huo na ndipo alipopanda jukwaani na kuwaomba masgabki zake kuzima taa na kuwasha simu ili kumuombea mtoto huyo.

Ndugu zangu  wa mtwarakama mnavyojua kuna msanii mwenzetu amefiwa na mtoto wake naomba tuchukue dakika chache kumuombea mtoto huyo,naomba mzime taa za jukwaan tafadhali na kuwashe taa za simu na kuziweka juu , tuonyeshe kwamba tuna upendona tumekuja kwa upendo.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.