Alichojifunza Dogo Janja Kupitia Video ya Nandy na Bilnass Kuvuja.

Msanii Dogo Janja amefunguka na kusema kuw kutokana na kitendo alichokutana nacho Nandy amejifunza kuwa wasanii wengi hawana ushirikianao katika kupatwa kwa matatizo kwa wasanii wenzao zaidi ya kuwa wanashuapalia mambo.

Kupitia matukio mawili makubwa ambayo  ya roma kutekwa na nandy kuvujisha video inamfundisha tabia za wasaniiwengine huku akisema kuwa kwa tukio la nandy wasanii wengine wamefurahishwa na tukio ilo na walikuwa wakiomba sana Nandy aweze kufungiwa kama adhabu ili iwe faida kwao kwa kupata show.

Nahisi ninaweza kumaindiwa leo na wasanii wenzangu lakini ni lazima mtu aanze ndio hili donda ndugu litapona.wasanii sis ni masinchi sana na baada ya hii ishu ya nandy ndo nimepata uhakika , kipindi cha isu ya roma nilikuwa nikiona baadhi ya watu kwenye makundi walikuwa wakisema atakoma eeh amezoea huyo , lakini pia jana na juzi nimekaa nabaaadh ya wasanii wakubwa wanasema bora hili limetokea kwa nandy maana na spidi ya show zitapungua , bora baraza wamfungie kidogo hata miezi 6 ili apotee kidogo.walikuwa wanapiga stori kama utani lakini moyoni nimefikiria sana.

wasanii tuache roho mbaya wote sisi ni maskini tu na wote tunahangaikia ugali, tukipata ajali kazini tusiombeane mabaya.vita iwe kwenye kazi tu.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.