Alichoongea Billnass Kuhusu Msimamo Wake Kwenye Ndoa.

Msanii wa bongo fleva Billnass amefunguka na kusema kuwa msimamo wake kuhusu ndoa ni kuwa kama wale wanaotoa michang kwa ajili ya kufanikisha harusi wangekuwa wanafatilia sana michango yao na kama harusi inavunjika basi watu hao wanaonjiwa basi isingetokea ndoa kuvunjika hata siku moja lakini kwa sababu ya kuzembea na ndio maana ndoa zinavunjika sana.

Katika ukurasa wake wa twitter, billnass aliandika “NDOA NYINGI ZA SIKU HIZI HAZIDUMU KWA SABABUWATU HAWANA HURUMA NA MICHANGO YETU, INGEKUEPO SHERIA KUWA MAHARUSI WAKIACHANA BIBI HARUSI AOLEWE NA ALIYETOA MCHANGO MKUBWA, NDOA ZINGEDUMU, ..akili za usiku.”

Billnass amekuwa siku zote akiandika baadhi ya mambo ya kijamii kwa njia ya utani lakini mwisho wa siku anakuwa akifikisha ujumbe kwa jamii anayoizunguka.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.