Alikiba Akiri Kumkubali Barnaba Classic.

Msanii wa muziki nchi alikiba ameshindwa kujizuia kuonyesha kuwa amekuwa akimkubali msanii mwenzake wa miondoko ya zouk barnaba classic na kuweka picha ya msanii huyo katika ukurasa wake wa instagra huku akisema kuwa anampenda sana barnaba.

Barnaba amabe jana aliweza kupata bahaati ya kufanya show katika harusi ya dada yake na alikibailiyofungwa siku ya August 1 na mchezaji mpira wa timu ya Taifa Abdul Banda.

Katika ukurasa wake wa instagram na twitter alikiba aliweka picha ya msanii huyo huku akiandika “i like this guy…thanks for coming ‘

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.