Alikiba Atoa Sababu ya Mofaya Kushindwa Kuingia Sokoni

Msanii Alikiba amefunguka alipokuwa katika mahojiano na Times Fm na kusema kuwa sababu kubwa ya kushindwa kutoka kwa kinywaji chake na kuanza kuonekana sokoni ni dogo sana na siku yoyote kinaweza kuwekwa sokoni.

Alikiba anasema kuwa kila kitu kimekamilika na kwamba imani yake ni kuwa haitachukua muda mrefu kinywaji icho kitaingia sokoni.

OK, tumemaliza kila processs nadhani kuna delay kidogo tu  imetokea mabayo inafanya kinywaji kisionekane sokoni lakini nadhani Mwenyezi Mungu  akijai hivi karibuni watu wataanza kuiona sokoni na ninaomba waipokee.

Kinywaji  icho kilitambulishwa rasmi miezi kadhaaa iliyopita ambapo ilikuwa siku ya ndoa ya msanii huyo hivyo kuwafanya watu kusubiria na kukiulizia kwa muda mrefu kinywaji icho.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.