Aslay Achora Tattoo Ya Sura Ya Binti Yake

Msanii wa Bongo fleva anayeendelea kufanya vyema kabisa Isihaka Nasorro maarufu kama Aslay ameonyesha mapenzi ya hali ya juu baada ya kuchora tattoo ya sura ya binti yake Mozah kwenye mkono wake.

Siku ya jana Mtoto wa Aslay alikuwa anafikisha umri wa miaka mitatu baba yake mbali ya kushiriki na kusheherekea siku hii na binti yake Lakini pia amechora tattoo ya sura ya Mtoto Wake.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Aslay ameandika maneno haya kwa ajili ya binti yake:

https://www.instagram.com/p/BuD5USUFEZi/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=a1a78c7dl370

Aslay ambaye ana umri wa miaka 23 alizaa Mtoto huyo na mrembo maarufu kwenye Mitandao ya kijamii Tessy Chocolate ambaye Hivi sasa hawapo kwenye mahusiano ya kimapenzi tena.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.