Aslay amefunguka sababu iliyomfanya ahame kutoka nyumba ya Mkubwa na Wanawe

Aslay amekubali kuwa alihama kutoka nyumba ya Mkubwa na Wanawe, ambapo akiishi na Waimbaji wenzake wa Yamoto band.

Akizungumza katika kipindi cha ‘On The Eight’ cha TVE Aslay alieleza kuwa hakuwa na tatizo yoyote na mtu na kilichomsababisha kuhama ni kwa sababu ya familia yake.

Aslay

Kulingana na yeye, amekaa muda mrefu mbali na familia yake na ndio maana aliamua kuwafuata . Anahofia akiendelea kukaa mbali nao hataweza kuwa karibu nao kama zamani.

Hata hivyo amekana maneno ambayo yanasambazwa mitandaoni. Hata hivyo, kwa hivi sasa amepanga kujibrand yeye mwenyewe na kuachia nyimbo zake mwenyewe.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.