Aslay: Sivuti bangi

Aslay amefunguka kuhusu mtindo wake wa maisha na jinsi anavyo nawiri kama solo artist. Msanii huyo alieza kuwa bado yuko Yamoto Band hata kama anatoa nyimbo zake pekee yake.

Watu wengi wanadhani Aslay ametoka Yamoto Band lakini ukweni ni kwamba hakuna msanii yeyote ambaye amekihama kundi hilo.

Yamoto Band

 

Akiongea na Times FM 100.5, Aslay alisema kuwa Mkubwa Fella amewakubali kila msanii wa Yamoto Band kufanya kazi kivyake. Aslay mwenyewe ashaachia nyimbo tatu kama solo artiste.

Aslay pia aliuliza maswali kuhusu mtindo wa maisha yake, mtangazaji wa Times FM alimuuliza kama huwa anavuta bangi.

“Hapana sivuti bangi, sinywi pombe” Aslay alimjibu.

Tazama mahojiano hayo kwenye video hapo chini:

https://www.youtube.com/watch?v=xBaR9hiu3lk

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.