Baada ya Heaven Sent, Wema Awaanda Washabiki wake kwa Kikubwa Zaidi.

Mwanadada Wema Sepetu amewataka mahabiki zake kukaa mkao wa kula kwa kazi kubwa na nzuri zaidi kwa sababu baada ya Heaven sent ambayo imeshinda tuzo mbili na kumletea heshima anawahaidi watu kuwa kazi itakayo kuja itakuwa kubwa zaidi kwa sababu sasa hivi yeye na team yake wanapika vitu vizuri.

Wema Sepetu aliandika”heaven sent imekuja na imeshinda tuzo, so it agood thing,tutegemee vitu vikubwa zaidi kama nilivyosema hapo awali kuwa kuna kitu kinatoka hapo june , naomba tukae mkao wa kula nadhani kitabadilisha taswira ya tasnia ya filamu nchini, kuna project za kutikia mji.

Baada ya wema kushinda tuzo hizo imekuwa kama njia ya kumfungulia mafanikio kwa sababu amepata madili mengi katika makampuni mbalimbali .

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.