Baada ya kusubiriwa Kwa Muda,Ndoa ya Zabibu Kiba Imeiva

Baada ya ndoa za kaka zake wawili kutikisa jiji, mwanadada Zabibu Kiba nae ameibuka na kukamilisha lile walilokuwa wamekamilisja ndugu zake hapo awali la kufunga ndoa na mpezni wake wa siku nyingi Abdul Banda ambae ni mchezaji mpira wa timu ya taifa.

Picha zilizosambaa katika mitandao ya kijamii znaonyesha maandalizi ya kwanza ya harusi hiyo.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.