Baada ya Kuwasili Kutoka India, Mh Mwakyembe Amtembelea Mzee Majuto

Waziri wa habari,tamaduni na michezo Mh Harrison Mwakyembe amekwenda kumtembelea msanii mzee majuto  ikiwa ni sikumbili tu tangu alipotua kutoka nchini India alipokwenda kwa ajili ya matibabu zaidi.Hata hivyo Mh Mwakyembe amempa moyo na kumsisitizia sana Mzee Majuto kuwa serikali ipo pamoja naye kipindi chote cha matibabu yake.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.