Baba Diamond Aomba Kuhalikwa Harusini

Baba wa msanii Diamond Platinumz amefunguka na kusema kuwa kuna tetesi zinazosambaa kuhusu mtoto wake wa kuje Diamond Platinum kufunga ndoa ingawa hajazipata kutoka kwa mhusika lakini anachosikia ni kutoka katika mitandao tu.

Hata hivyo baba huyo anasema kuwa hana kinyongo na swala hili ingawa anatamani sana kuhudhuria katika harusi hiyo lakini hawezi kwa sababu hajaalikwa lakini anaomba sana kualikwa katika harusi hiyo kwa sababu yule ni mtoto wake wa kiume.

Baba huyo na Diamond pamoja nakwamba wamekuwa na uadui lakini yeye hana kinyongo na mtoto wake kila mara amekuwa akiongea na kumtakia mema Diamond ingawa kwa upande wake hataki kabisa kuongelea chochote kuhusu baba yake.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.