Baby Madaha- Napenda Sana Kufanya Tendo La Ndoa

Msanii wa muziki wa Bongo fleva aliyewahi kutamba na vibao vikali kama vile ‘Amore’ amefunguka na kudai anapendelea sana kufanya tendo la ndoa.

Baby Madaha ametoa kali hiyo ya mwaka na kuwashangaza wengi baada ya kusema starehe pekee anayoipenda ni kufanya tendo la ndoa na anaweza kufanya hata mara nne kwa wiki.

Kwenye mahojiano na Gazeti la Amani, Baby Madaha alisema tendo hilo huwa anapenda kulifanya mara nyingi zaidi pindi anapokuwa na fedha mfukoni.

Napenda kufanya nikiwa niko vizuri sana mfukoni, akili yangu yote iwe hapo tu yaani kwa wiki naweza kufanya hata zaidi ya mara nne”.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.