Bado Niko Single Sana :-Emmanuel Mbasha

Muimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania,  Emmanuel Mbasha amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu mahusiano yake kama amepata ubavu mpya baada ya kuachana na Flora . Mbasha amesema kuwa kwa sasa yupo single, bado anasubiri mwanamke atakayechaguliwa na Mungu.

Namuomba Mungu Mimi bado kijana siwezi kusema miaka yote nitaishi peke yangu.  Namuomba Mungu aje anipe mke mwema na sahihi wa kufanya nae maisha na kukamilisha taratibu zote za kiheshima.”amefunguka Mbasha kwenye kipindi cha E-Gospel cha EFM. “Kwa sasa hivi bado nipo single, Sina mchumba wala Girlfriend, nimeshachoka kuumizwa,”. 

Mbasha amefunguka hayo, baada ya tetesi kuwa amepata mchumba mpya, ambaye mara kwa mara amekuwa akimposti kwenye ukurasa wake wa instagram.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.