Barnaba Akana Kuwa na Mpenzi kwa Sasa.

Mwanamuzki barnabas amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hana mpenzi kama imekuwa ikizushwa katika mitandao ya kjamii na kwamba kama atapata mpenzi hivi karibuni atakuja kumtambulishwa kwa mashabiki zake siku atakapofunga naendoa au kumvalisha pete na wala sio vinginevyo.

Barnaba ameyasema hayo ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu kusambaa kwa baaadhi ya picha katika mtandao wa kijamii zikimuonyesha akiwa na moja ya warembo studio na maeneo tofauti ya kujivinjari huku mazingira yakiwaonyesha kama wapenzi lakini amekataa na kusema hana mahusiano na wanamke yoypote kwa sasa.

sijui chgochote kwa sasa,nilisema siku nitakayo muonyesha mwanamke wangu ni siku namuoa au namvalisha pete tu na sio vinginevyo , siwezi kuwa na mapenzi ya mtandao na mwanamke wangu  na kwa mtu nimpendae siwezi kumuweka katika mtandoa hata siku moja,

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.