BASATA Wafungukia Afya Ya Ommy Dimpoz

Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limefunguka kuhusu hali ya kiafya ya Msanii wa Bongo fleva Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz.

Baada ya kuwepo kwa taarifa mbali mbali kuhusu hali ya kiafya ya Msanii huyo huku kukiwa na taarifa mbali mbali za afya yake kuterereka mpaka kuzsidiwa na kulazwa hodi ya wagonjwa mahututi (ICU).

BASATA ambao pia ni walezi wa sanaa hapa nchini wameguswa na hali ya ugonjwa wa Ommy Dimpoz’ ambaye yupo nchini Afrika Kusini akipatiwa matibabu baada ya kufanyiwa upasuaji wa koo mapema mwezi uliopita.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter, BASATA wanefunguka na  wameandika;

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.