BASATA Waibuka na Kumpongeza Diamond Platnumz

Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) wamempongeza Msanii wa Bongo fleva Diamond Platnumz Baada ya msaada aliotoa mkoani Sumbawanga alipokuwa kwenye shoo.

Sio Siri kuwa uhusiano wa Diamond na BASATA umekuwa wenye misukosuko kwani Wiki chache tu zilizopita msanii huyo alionekana akiwasihi Baraza hilo lisifungie nyimbo yake mpya ‘Mwanza’.

Baraza hilo limeamua kumpongeza Diamond Baada ya Shughuli za kijamii alizofanya mkoani Sumbawanga ikiwemo kuhaidi kutoa zaidi ya Milioni 68 kwa ajili ya kujenga shule ya msingi.

Kipitia ukurasa wao wa Instagram, Baraza hilo limeandika ujumbe huu:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.