Belle 9 Akiri Kunyooshwa na Maisha Ya Ndoa

Msanii wa Bongo fleva Abednego Damian maarufu kama Belle 9 amekiri kabisa kunyooshwa na maisha ya ndoa na kukiri tangu ameoa amebadilika sana.

Belle 9 alifunga ndoa mwaka jana mwishoni lakini mpaka mwaka huu mwezi huu ameshainyoshea mikono juu ndoa.

Belle 9 amefunguka hayo Kwenye mahojiano aliyofanya na Ijumaa Wikienda ambapo amekiri kuwa ndoa imemnyoosha tofauti na alivyokuwa mwanzo kabla ya ndoa:

Kiukweli ndoa imenibadilisha sana kwa sababu maisha niliyokuwa ninaishi kabla ya ndoa ni tofauti kabisa na ya sasa.

Kwenye ndoa kuna vitu vingi nimejifunza, nimekuwa ni mtu mpya katika maisha yangu mapya, kwa sasa ninaangalia zaidi familia yangu kwa jumla.”

Belle 9 yupo Kwenye listi ya wasanii wengi masupastaa kama AY, Ali Kiba ambao wameamua kuukimbia ukapera na kufunga ndoa.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.