Ben Pol Ataka Kurusha Ngumi kwa Mwandishi.

Mwanamuziki Ben Pol ambae tumesikia kuwa hivi karibuni anategemea kufunga ndoa na mrembo kutoka nchini Uganda, ameshindwa kudumu katika interview na mwandishi kutoka millad ayo hasa baada ya mwandidshi huyo kumuuliza kuhusu mahusianoa yake ya sasa na yale yaliyopita,

Ben pol ambae alionekana kuwa na hasira na hata kutaka kurusha ngumi kwa mwandishi aliamua kumfukuza mwandishi na kukataa kujibu swali alilokuwa ameulizwa na kusema kuwa hataki kuzngumzia b=mada hizo.

Ben pol ambae hapo awali aliwahi kuwa na mpenzi alieahatika kupata mtoto nae mmoja , walikuja kuachana huku kukiwa hakuna sababu ya msingi iliyotolewa na wawili hao ambapo baada ya hapo zilikuwa tetesi kuwa amekuwa akitoka na ebitoke mpaka alipoamia kuhamisha majesho yake kwa anerlisa.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.