Bob Juniour Awatolea Povu Wasiotaka Kuonga.

Msanii na muandaaji wa muziki nchini Bob Junior  amefunguka na kusema kuwa yeye ni moja kati ya wanaumehodari wa kuonga pesa wanawake na huku akijitamba kuwa kufanya hivyo sio ujinga bali ni moja ya sifa ya mwanaume kwa mwanamke wake.

Maneno ya Bob Juniour yameonekana katika ukurasa wake wa instagram, alipoweka video clip inayomuonyesha mwanamke akicheza moja ya nyimbo zake huku yeye mwenyewe akiwa anamwagia pesa mwanamke huyo kwa kuyarudi vizuri mauno.

katika video iyo Bob Juniour aliweka caption ” sioni shida kumuonga mwanamke pesa, mwanamke ninae mpenda kumpa pesa, gari au nyumba sio ufala ni mapenzi ya kweli, kama ujui kuonga utaibiwa sana, hongo na mhudumie mke wako ..sio unategemea ndizi tu utakuja kuibiwa shauri zenu ..endeleeni kuwa viben ten mjini mtaibiwa.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.