Bright Amkana Mtoto wa Nyoshi

Mwanamuziki wa kizazi kipya nchini,Bright amefunguka na kukanusha kuwa na mahusiano na mtoto wa mwanamuziki wa dansi Nyoshi El Sadaat na kusema kuwa mwanadada huyo ni rafiki yake tu na wala sio vinginevyo.

Akiongea na PB ya EATV , bright amesema hayo alikuwa amekwenda kwa ajili ya ktambulisha ngoma yake mpya ya kingasti na kusema kuwa taarifa hizo amekuwa akizisikia lakini hakuna ukweli wowote kuhusu hilo.

sina mahusiano na mtoto wa nyoshi yule ni rafiki yangu tu.nimefahamiana nae baada ya kuambiwa kuwa amechora tatoo ya jina langu katika bega lake,kipindi hicho nilikuwa zangu Ifakara.

Lakini pia anasema kuwa hata swala lililouwa likizushwa na msichana huyo kuwa na mimba halikuwa na ukweli  wowte kwa sababu wao ni marafiki tu.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.