Chuchu Hans Awajibu Wanaomsema Vibaya Kukaa na Ray Mwezi Huu wa Ramadhan

Mwanadada kutoka bongo movies Chuchu Hans amefunguka na kuwataka wanaomsema vibaya katika kipindi hiki cha Ramadhan kumuacha kufatilia mambo yake kwa sababu maswala ya ndani ya ndoa wao hawawahusu.

Akijibu tuhuma wanazomzushia watu kuwa mwana dada huyo ambae yuko Afrika ya Kusini kwa ajili ya kushuti muvi kuhusu swala ya yeye kukaa chumba kimoja na mzazi mwenzie mwezi huu wa Ramadhani wakati katika dini hairuhusu kwa sababu hawajafunga ndoa , Chuchu anasema anaomba wamuache na mambo yake.

mimi ninachojua kuwa wa kumhukumu mtu ni mungu pekee, maana yeye ndio anajua kila kitu  na ukweli wote  kuhusu binadamu nawala sio mtu wa kawaida,ba hata nilivyo huku watu wanasema sana lakini mii sijali.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.