Diamond Aacha Historia, Akabidhiwa Ardhi Kenya.

Msanii wa muziki diamond latinumz ambae ameamua kufanikisha swala la kuwa miongoni mwa wasanii ambao wametoa album za nyimbo zake  amepewa zawadi nono nchini kenya.diamond ambae amefanya uzinduzi wa album yake ya A Boy From Tandale  March 14 nchini Kenya, show ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu  na watu wa nchini humo huku wakijiona kuwa na heshina na thamanikubwa kwa msanii huyo kutokana na ukweli kwamba Diamond angeweza kufanya show hiyo nchi yoyote lakini aliamua kuifanya nchini humo.

Hata hivyo watu wa nchini Kenya pia waliamua kurudisha shukrani zao kwa msanii huyo na kuamua kumpatia zawadi ya kipande cha robo heka ya ardhi nchini humo.

Katika shoe hiyo diamond aliambatana na familia yake pamoja na team yake nzima ya wasafi huku msanii mkubwa Dunianai Omarion akija Afrika kwa ajili ya kumpa sapoti.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.