Diamond akutana na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda katika ofisi ya Wasafi kuzungumzia wizi wa kazi za wasanii

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alikua mgeni wake Diamond Platnumz jana Aprili 4. Makonde alialikwa katika ofisi ya Wasafi na staa huyo wa muziki.

Afisa huyo wa police alifanya kikao na wadau wakuu wa Wafasi, walizungumzia wizi wa kazi za wasanii na mambo kadha wa kadha zikiwemo changamoto mbalimbali.

Tazama kikao hicho kati ya Wafasi na Paul Makonda kwenye video hapo chini:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.