Diamond amenunua helikopta?

Uvumi umezuka mtandaoni kuwa Diamond Platnumz sasa ni mmiliki wa helicopther ya aina AgustaWestland A109S inayo gharimu TZS bilioni 14.5.

Baadhi za vyombo vya habari vilianza kusambaza habari hii baada ya Diamond kuonekana amepiga picha akisimama mbele ya helikopta hio.

Ukweli wa mambo ni kuwa ndege hio inamilikiwa na Akagera Aviation – kampuni ya ndege ya aina ya helikopta ambayo iko jijini Kigali.

Diamond alibebwa na ndege hilo linalomilikiwa na Akagera Aviation baada ya kufika nchini Rwanda. Baba Tiffah alikua anatoka Kongo ambapo alitumbuiza mashabiki jijini Goma.

Tazama video hapo chini uone jinsi Diamond aliingia Rwanda akitoka Kongo:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.