Diamond Amuweka Idris Katika Wakati Mgumu.

Mchekeshaji maaruf nchi Idris sultani amejikuta akiwa katika wakati mgumu kutokana na kile alichokifanya Diamond katika sku yake ya kuzaliwa ambacho kwa upande wake anaona kabisa kuwa haitawezekana kuwafanyia watu wa kwao.

Idris ambae pamoja na kumpongeza kwa hatua kubwa aliyoifikia ya kuwakumbuka wananchi wa sehemu alipotoka lakini pia anasema kuwa kitu alichokifanya Diamond kinamfanya yeye hashindwe kueleweka kwa watu wa arausha kwa sababu anaona kabisa kuwa hawezi kurudisha fadhira kama alizofanya diamond  na anaona kuwa kwa vitu anavyotaka kuwapelekea hakuna atakae muelewa.

Idris aliandika “kitu alichofanya diamond kimenifanya nishindwe kulala , najiuliza narudi vipi Arusha kugawa kilo mbili za mchele, elfu 20 ya luku, kisado cha mafuta ya kula  na tshirt ya sportpesa,wana watanipiga waniue.”

Ukiachana na kuwa wawili hao wameshapatwa na skendo za kuwa wanachangia wanawake lakini siku zote haijawahi kusikika kuwa wamekuwa na bifu au kukitana na kugombana aua kutupiana maneno , zaidi sana Idris amekuwa akiweka na maneno ya utani kutokana na kazi yake.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.