Diamond Atapata Tabu Sana :- Baba Diamond

Baada ya siku kadhaa kupita baada ya Diamond kuweka picha ya baba yake na mama yake pamoja na yeye bado akiwa mdogo lakini bado baba huyo anasema kuwa Diamond anayafanya hayo anayoyafanya kwa sababu yeye yuko hai.

Diamond ambae inaonekana kuwa anamchukia baba yake na baba yake anakiri kulijua hilo , amasema kuwa anajua kabisa kuwa Diamond anamchukia lakini anajua kuwa siku akifa ndio atajua umuhimu wake na kwamba itampa tabu sana atakapo kufa yeye

Niliiona hiyo picha na niliiona ni vizuri na nilijisikia faraja pia,haina tatioz lolote lakini mimi ninajua kabisa kuwa diamond ananichukia lakini hata iweje mimi ni baba yake, na ananichukia kwa sasa lakini ipo siku nikifa atapata tabu sana.

Baba diamond anasema kuwa pamoja na kwamba yeye ni baba ya Diamond lakini hajawahi kusaidiwa kama anavyostahili kama mzazi.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.