Diamond Awapa Ujumbe Huu Watoto Wake

Mwanamuziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz ameendelea kukaa kwenye headlines za mitandao ya kijamii tena kwa siku ya leo baada ya kumpost mtoto wake aliyezaa na Hamisa.

Tangu Diamond Akiri kuzaa na Hamisa miezi michache iliyopita Kumekuwa na sintofahamu kwenye familia yake kwani watu mbali mbali wamekuwa wakimlaumu kwa kupendelea watoto wake wawili aliozaa na Zari na kumtelekeza mtoto aliyezaa Na Hamisa.

Siku ya leo Diamond kamuweka kwenye ukurasa wake wa Instagram mtoto wake aliyezaa na Hamisa anayeitwa Dylan lakini pia kamuweka na Nillan aliyezaa na Zari na kuwaandikia ujumbe huu:

Pamoja na uzuri mlioenda kurithi kutoka kwa mama zenu halafu mkaenda kuniletea wakwe vijuso….dah mtanisikitisha sana…”.

 

Lakini ni pia siku ya jana familia ya Diamond ilionekana ikimposti Dylan tangu azaliwe ambapo dada wa Diamond, Esma Platnumz alimuweka Dylan na watoto wake pamoja na watoto wa Zari:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.