Diamond: Hauwezi kunicompare na Alikiba

Diamond amemchimba Alikiba kwa remix ya wimbo ‘Fresh’. Diamond ambaye alirap kwa wimbo huo, alisema kumcompare na Cinderella (Alikiba) haiwezi kuwa fresh.

Soma mistari ya Diamond kwa wimbo ‘Fresh’ hapo chini:

Niliposikia beat tu nikatamani nifanye verse/ Nikamcheck Ngosha akaniambia simba mbona fresh/ Upesi upesi nikaandika nimurde kesi/

Na sasa ngoma kitaani imenuka kama kinyesi/

I started young kabla sijaitwa Chibudenga/

Enzi hizo naitwa Domo eti siku hizi lips Denda/ Baba Tiffa mnaniita Baba Nillan/

Nasikia naitwa Baba Abdul, kuna mambo mitaani /

Mzuka ukipanda ukate viuno kama Vanga/

Kwa beat ya Kubanda inayobakwa na muuza karanga/

Ukinichukia sikosi hela hivyo kwangu sio kesi/ Kunicompare na Cinderella haiwezi kuwa fresh/ Simba kutoka mbuga ya Tandale/

Naona swala wanaforce tuwe sare sare/

Viuno vidogo wanataka pensi ya Pepe Kalle/

Si walitaka kiti, nimewapa hadi kitanda wakalale

 

Tazama video chini:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.