Diamond ni Kama Mkate :-Steve Nyerere

msanii Steve Nyerere amefunguka na kusema kuwa mara nyingi amekuwa akijikuta akifanya kazi na msanii Diamond Platinumz kutokana na ukubwa wake katika maswala ya muziki bila kuwa na pingamizi la aina yoyote.

Msanii huyo anasema kuwa Diamond amekuwa kama mkate ambao mara nyingi umekuwa na radha tofauti tofauti za kuchagua kulingana na mahitaji yako na familia yako pia.

Diamond anajua kabisa, anasema nyakati, anatambua sasa hivi watu wanataka nini, amekuwa kama mkate , kuna mkate wa kisukari , kuna wa hali ya hewa na kuna ule wa hali ya chini kabisa na hali ya kawaida. sijawahi kumkataa alikiba kwa sababu mimi na muziki ni kama jeshi na mgambo.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.