Diamond Platnumz awaonyesha mashabiki wake Pete na cheni mpya alizozinunua Tsh 158 million

Kweli Diamond Platnumz sio mtu wa mchezo. Mwimbaji huyo wa Tanzania ameaacha mashabiki wake kama wameduwaa baada ya kuonyesha pete na cheni zake mpya alizozinunua millioni 158 pesa za Tanzania.

Ata hivyo hii sio mara ya kwanza ya huyo muimbaji kuaonyesha baadhi ya vitu anavyovimiliki vya thamani ya juu. Kupitia mtandao wake wa Instagram aliandika kusema…

Thanks God for my new GOLD & DIAMONDS collection…i never thought i would be able to hang 50,000$ on my neck

Aliendelea kumshukuru mungu akisema kuwa kila siku anapata baraka amabazo ata yeye mwenyewe haamini kuwa angepata. Kwenye picha nyingine aliandika kusema…

“Thanks God for your daily blessings never thought i would be able to walk with 22,000 $ on my Hand!!!… jus get inspired @sallam_sk don’t hate.”

Tazama hizi cheni na pete hapa chini.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.