Diva the Bawse Achafua hali ya Hewa Instagram kwa Masaa.

Mwanadada kutoka clouds media Diva the bawse, amejikuta akichafua hali ya hewa huko instagram kutokana na attentio kubwa aliitengeneza baada ya kutangaza kuwa ana tamko kali anataka kulitoa na kuwafanya watu wakae wakisubiri ni kitu gani anataka kukisema lakini mwisho wa siku aliishia kusema kuwa amepigiwa simu na watu mbalimbali wakimuomba aache kufany hivyo.

Diva alianza kuwa kumsema mtu anayetaka kumtolea tamko kwa kusema kuwa mtu huyo ni mwembemba , kimbao kimbao na kufanya watu kupata hamu ya kutaka kumjua sana lakini mwisho  wa siku aliishia juu juu tu.

Nimevumilia na nimeshimdwa, hasira iko kali juu sana,itaneni kama kuna mtu nikakuwa nimemkwaza atanisamehee, mwisho wa ubaya ni aibu leo nimesema nitavua mtu nguo.-Aliandika Diva katika ukurasa wake wa instagram.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.