Dogo Janja Amekuwa James Delicious-Young Tusso

Msanii wa hip-hop nchi Young Tusso amefunguka na kumtaka Dogo Janja kuwaomba radhi watu wa Arusha kwa kitendo chake cha kuwadharirisha watu hao kutokana ka kuvaa nguo za kike katika wimbo wake mpya uliotoka hivi karibuni unaojulikana kwa jina la WAYUWAYU.

pamoja na kupendwa kwa wimbo huo lakini young tuso amesema kuwa ni lazima dogo janja awaombe radhi watu  wake kwa sababu hiyo ni tabia ya kike kuvaa nguo za hivyo kulingana na jinsia yake , maneno hayo aliyaongea alipokuwa akiongea na enews katika kituo cha televisheni cha EATV.

Nilishtuka sana kuona instagrma picha za dogo janja akiwa amevaa nguo za kike wakati katika huo wimbo wala hakukuwa na ulazima wa yeye kuvaa nguo za kike,kwaio mimi nimemtazma kama mtoto wa kiislamu kwaio ni lazima awaombe radhi watu wake wa Arusha.

Mimi nadhani nipo tofauti kidogo na watu wengine sikubaliana kabisa na hilo swala la yeye kuwa ni video queen,unajua kumuona msanii kama dogo janja tena wa hip-hop  ambae anatokea Arusha tena  tena kwenye asili ya ugumu  alafu mwisho wa siku anakuwa kama James Delicious inanipa tabu sana kuona hivyo.

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.