Dogo Janja Atoa Siri ya Kile Alichokifanya Kwenye Wimbo Wake Mpya.

Msanii wa muziki wa bongo fleva Dogo Janja amefunguka na kuzungumzia swala lake la kutoa video mpya hivi karibuni  huku yeye mwenyewe akiwa amevaa uhusika  kila tukio. lakini uhusika uliozua mjadala mkubwa ni baada ya kutoka na muonekano wa kike ambao umewashangaza mashabiki wngi huku wengine wakisema kuwa amejidharirisha.

Akiongea na Planet Bongo ya Eatv, Dogo Janja anasema kuwa  alichoamua kukifanya katika video yake ya wayu wayu ni ubunifu na sio vinginevyo kwa sababu baada ya hapo maisha yake yanaendelea kama kawaida.

Nilivaa hadi kigodoro lakini ndo hivyo mwisho wa siku heshima yako inabaki palepale,sio unaigiza hivyo alafu baada ya hapo unaenda kuwa na maisha ya miyeyusho tena , hiyo inakuwa sio, swala ni umeigiza umemaliza na umerudi kulekule kwenye uanaume.

Video hiyo ya Wayuwayu ya dogo janja kwa sasa imeshika nafasi nzuri katika mtandao wa you tube.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.