Dudubaya Atoa Siri ya Kumpa Kipondo Mr Nice

Msanii mkongwe katika gamela muziki Dudubaya amefunguka sababu kubwa iliwahi kufanya katika histora ya muziki kuwepo na bifu kubwa kati yake na msanii mwenzake mr nice baada ya kumpiga sana msanii huyo.

Dudubabya anaelezea kuwa sababu kubwa ya yeye kuwa na ugomvi wa milelle na mr nice ni baada ya kukutana club ambapo sanii huyo alimletea dharau na ndipo alipoamua kumpiga ili kumuadabisha na kuanza kwa ugomvi wao.

Akielezea  kwa ujasiri msanii huyo ambae kwa sasa amejizolea umaarufu na jina lake la kibabe la konki master anasema ‘tualikutana club billcanass siku moja na akaniletea dharau na ndio nikaamua kumbabua  kwa sabbu mimi sipendi dharau na kweli aliumi na alivunjika kiuno, tangu hapo ndipo ugomvi wetu ulioanzia.

Ikumbukwe kuwa kwa muda mrefu tangu Dudababa hampige msanii huyo, waliingia katika ugomvi mkubwa kwa muda mrefu na hatasasa wasanii hao hawako katika mahusiano mazuri na kipindi walipokuwa wameshika sana nafasi ya muziki walikuwa hata wakiimbiana nyimbo za kupigana vijembe.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.