Ebitoke Akataa Kusema Kilichomtoa Timamu

Mchekeshaji Ebitoke amejikuta kwenye wakati mgumu mara baada ya kupokea lawama nyingi kutoka kwa mashabiki wake kufuatia hatua yake ya kujiondoa kwenye kundi la Timamu.

Licha ya kuandamwa huko, Ebitoke amewaeleza kamwe hatoweza kuwaambia sababu iliyopelekea kujitoa kwenye kundi la Timamu.

Mashabiki wangu mnataka niwafanyie nini ili mridhike maana mmekuwa na Maneno kibao. Mnataka kujua sababu iliyonitoa Timamu?,” .”Itabaki kuwa siri yangu tu na muhusika na sitamani mkaijuia maana ,mtanionea huruma. Punguzeni ukali wa maneno maana hakuna anayependa kuambiwa mabaya kila siku” ameeleza.

Ebitoke alijizolea umaarufu mkubwa ndani ya kundi la Timamu akiwa na wachekeshaji wengine kama Mkaliwenu, Bwana Mjeshi, Mamaa Ashura, kwa sasa Ebitoke ameondoka kwenye kundi hilo.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.