Edu Boy Akiri kumpora Nini Kwa Nay Wa Mitego.

Msanii wa hip-hop nchi edu boy ambae siku za hivi karibuni amekuwa ni moja ya wasanii wasiogopa kutoa makavu live kwa wasanii wenzake amefunguka na kumpondea msanii mwenzake Ney wa Mitego kwa madai kuwa  amempokonya aliyekuwa mpenzi wake Nini.

Nini na Ney wa Mitego walisemekana kuwa katika mapenzi kwa muda mrefu na hivi karibuni waliamua kutoa wimbo lakini kama kawaida ya wasanii walikuwa wakikana kabisa kuwa hawapo katika mapenzi.

Edu Boy amesema kuwa Ney hawezi kujilinanisha nae kwa sababu yeye ni mtoto  wa kisukuma na anakula vizuri hivyo kumpokonya mtu mwanamke kwake ni swala la kawaida kama mwanaume aliyenae hamridhirishi.

Unajua kuwa mimi ni mtoto wa kisukuma kwaio nakula vizuri sana,kwaio najua namna ya kumridhirisha mwanamke  katika tendo kwa sababu tuna nguvu za kutosha.kumpora mtu mpenzi ni jambo la kawaida.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.