Esma Ageuka Chui Kuulizwa Malezi ya Watoto wa Zari

Dada wa msanii diamond platinumz amegeuka kuwa mbogo hasa baada ya mwandishi wa habari kumuuliza wao kama famili ya Diamond wanajiskiaje pale wanaposikia mama watoto wa watoto wa Diamond zari anapotangaza katika mitandao kuhusu kutelekeza watoto wake.

Zari amekuwa akisema kuwa baba wa watoto wake hana anachojali kuhusu watoto hao na kwamba kila kitu kwa sasa anajua yeye mwenyewe.

Mtangazaji alipouliza kuhusu swala hilo ESMA alikuwa mkali na kusema kuwa kuna baadhi ya mambo hana haja ya kuyajibu kwa sababu hayamhusu kuyaongelea.

sitaki kuulizwa habari zake, unaniuliza mimi kwani zinanihusu.Kwani mimi ni Diamond, sitaki mambo ya ajabu ajabu …(tusi)

 

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.