Esma Akiri Kumkumbuka Hamisa Mobetto

Dada wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Esma Platnumz ameibuka na kudai kuwa amemiss sasa Mzazi mwenzake na Kaka yake Hamisa Mobetto.

Esma ambaye amewahi kuwa na urafiki na Mobetto ameweza wazi kuwa mbali ya kuwa wifi yake Lakini aliwahi kuwa rafiki mzuri sana kwake hivyo anakuwa anamkumbuka sana.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa, Esma  alisema kati ya watu ambao huwa akikaa anawamisi, mmojawapo ni Mobeto kwa kuwa alikuwa ni rafiki mzuri kwake ingawa watu wengi hawalijui hilo.

Sijasema hivi kwa kutafuta kiki jamani ila nimeongea ukweli kutoka moyoni. Misa (Mobeto) alikuwa ni rafiki mzuri sana kwangu ingawa siku hizi kuna watu kwenye mitandao wanamuaribu na amekuwa tofauti na mwanzo”.

Urafiki wa Esma na Mobetto ulifikia kikomo mara Baada ya Diamond kumkataa Mtoto wa Mobetto na kusababisha ugomvi kati ya panda hizo mbili.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.