Esma Amkana Hamisa Mobeto Kweupe

Mwanadada Esma Platinumz amemkana Hamisa Mobeto kwamba  sio rafiki yake tena kwa sasa hivi na kusema kuwa hajui chochote kuhusu mahusiano ya rafiki yake huyo na  kaka yake Diamond Platinumz.

Akiongea katika sherehe waliofanya wikiend iliyopita walipokuwa wakiukaribisha mwezi mtukufu wa ramadhani, esma anasema kuwa hajui chochte kuhusu mahusiano ya wawili hao na ndio kwanza ameyasikia kutoka kwa mtangazaji huyo na kama ni kweli basi hana cha kuzungumza kuhusu hilo.

 Ndo kwanza nasikia kwako taarifa hizo wala hata sijui kama wamevalishana pete,hamisa mobeto alikuwa rafiki yangu lakini no comments,alikuwa rafiki yangu lakini sio kwa sasa hivi.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.