Fancy wa Hamisa Amkumbuka Lulu Michael

Mtoto wa Hamisa Mobeto ambae jana ilikuwa ni kumbukumu ya siku yake ya kuzaliwa alionyesha huzuni kwa baaadhi ya mashabiki baada ya video iliyokuwa ikisambaa katika mtandao wa instagram ikimuonyesha mtoto huyo akiwa ameshika simu ya mezani  na kuanza kuigiza kama vile anaongea na  Lulu Michael ambae yeye amezoea kumwita aunty,

Fantacy na Lulu walikuwa na mahusiano mazuri kama ya mama na mtoto kutokana na upendo aliokuwa nao lulu michael kwa mtoto wa hamisa pamoja na kwamba lulu na hamisa  waliwahi kutoka kimapenzi na mwanaume mmoja.

Hata hivyo tangu kipindi cha mwanzo hamisa alishawahi kuthibitisha kuwa mtoto wake huyo alikuwa akimpenda na kumzoe sana aunty yake huyo kiasi kwamba hata yeye alihuzunika sana kwa sababu mtoto wake alikuwa akitumia muda mwingi kukaa na Lulu Michael.

Katika ukurasa wake wa instagram, majizo aliweka post hiyo ya mtoto wake huyo wa kike alizaa na Hamisa kipindi wakiwa bado wapenzi kabla ya kuachana na kuingia katika mahusiano na Lulu na kuandika”birthday girl ameshindwa kuvumilia imebidi aongee na aunty @elizabethlulumichael fake ..we miss you so much angalia mpaka @babyfancy anajiongelesha mwenyewe”

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.