Fid Q Afunga Ndoa

Msanii mkongwe Fid q amefanikisha safri yake ya mapenzi baada ya kuamua kufunga ndoa na mpenzi wake wa siku nyingi ambae wiki iliyopita aliamua kumvisha pete ya uchumba na hata january 2019  kuamua kufunga nae pingu za maisha.

Mwaka 2018 umekuwa mwaka mwema kwa baadhi ya wasanii hasa wa kiume ndani ya bongo fleva kwa sababu idaidi kubwa ya wasanii hao wamefanikiwa katika swala la kufunga ndoa na kuachana na ubachela.

 

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.