Forbes yamtaja Mtanzania Mohammed Dewji miongoni mwa watu ishirini na tano wenye utajiri mkubwa zaidi barani Afrika 2017

Mohammed Dewji ndiye tajiri mkubwa zaidi Afrika mashariki. Mtanzania huyo ambaye ni afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya MeTL Group, ameorodeshwa nambari kumi na sita kwenye listi ya Forbes.

Mohammed Dewji

Forbes huchapisha orodha ya matajiri wakubwa zaidi duniani kila mwaka. Mnaijeria Aliko Dangote bado ndiye mtu tajiri mkubwa zaidi barani Afrika.

Tazama hio listi ya Forbes apo chini:

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.