Godzillah Afunguka Mapenzi Yake kwa Halima Mdee.

Msani wa muziki wa hipo-hop nchini Godzillah amefunguka na kuelezea mahusiano yake na mwanasiasa anaefanya vizuri kutoka chadema Halima Mdee ambae amekuwa akimu-insipire sana katika kazi zake za sanaa na hata kumsifia kila anapotoa wimbo hasa huu wimbo wake mpya wa stay.

Godzillah alipoulizwa kuhusu maoni ya halima katika muziki wake alijibu “kazi nzuri ya sanaa hugusa nafsi ya kila mtu” akimaanisha kuwa kutokana na uzuri wa kazi zake na ndio maana hata mbunge huyo amekuwa akimsifia kwa sababu anajua kile anachofanya katika muziki wake.

Hata hivyo, alipoulizwa kuhusu kuchekewa kutoka kwa video yake ya wimbo wa Stay, Godzillah anasema kuwa  wimbo huo una maudhui yanayoishi na ndio maana hata hakuwa na wasiwasi wa audio yake kuchoka na ndio maana anaamini kuwa hata kama video imechelewa lakini bado video inaweza kufanya vizuri.

About this writer:


Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.